Mambo Muhimu Yakuzingatia Kwa Mama Anayenyonyesha Site

Mama anayenyonyesha anahitaji nishati ya ziada kuliko kawaida kwa sababu mwili unatumia nguvu nyingi kutengeneza maziwa.

Osha matiti kwa maji safi. Epuka kutumia sabuni kali kwenye chuchu kwani zinaweza kukausha mafuta asilia na kusababisha chuchu kupasuka (cracked nipples). MAMBO MUHIMU YAKUZINGATIA KWA MAMA ANAYENYONYESHA

Titi kuwa jekundu, gumu, na lenye maumivu makali (linaweza kuwa ni maambukizi ya Mastitis ). Homa kali na baridi. Chuchu kutoa usaha au damu. Mtoto kugoma kunyonya kabisa au kutoongezeka uzito. na mafuta yenye afya). Protini (maharage

Mama anapaswa kuwa mwangalifu na dalili zifuatazo na awahi hospitali: MAMBO MUHIMU YAKUZINGATIA KWA MAMA ANAYENYONYESHA

Kula vyakula kutoka makundi yote (wanga, protini, mbogamboga, matunda, na mafuta yenye afya). Protini (maharage, nyama, samaki, mayai) ni muhimu kwa ukuaji wa mtoto.